MTANGAZAJI

VITA BAINA YA DREVA,KONDAKTA NA WANAFUNZI

Dreva wa basi akimzuia mwanafunzi kupanda ndani ya gari
Wanafunzi wakipigana ngumi na kondakta aliyewazuia kupanda ndani ya gari
Dreva akigombana na mwanafunzi
Wanafunzi wakichukua mfuko wao baada ya ugomvi   


 
 Gari likiwa linaondoka baada ya purukushani kati ya dreva,kondakta na wanafunzi katika kituo cha gereji barabara ya Mandele inaonekana gari hili ni kwa ajili ya wanafunzi maana magari yenye rangi za njano ni kwa ajili ya kubeba wanafunzi alishuhudia gari hili likiwa na abiria wanaoelekea Ubungo

1 comment

Anonymous said...

Ni ngumu sana kuwa mwanafunzi mjini bongo, kumbukeni drivers na konders wanafunzi ndio FUTURE.treat THEM well.

Mtazamo News . Powered by Blogger.