MTANGAZAJI

UPENDO NKONE KUFUNGA NDOA NA MCHUNGAJI


Baada ya kuishi katika hali ya ujane kwa zaidi ya miaka tisa,mwimbaji wa nyimbo za injili hapa nchini Bi Upendo Nkone anatarajia kufunga ndoa na Mchungaji John Mbeyela oktoba 17 mwaka huu.

Gazeti la Majira limeeleza kuwa Upendo Nkone anatarajia kuagwa oktoba 11 nyumbani kwao Kigoma,Tanzania na ndoa yake na mchungaji huyo ambaye ni mgane mwenye watoto watatu itafungwa katika kanisa la Naioth maarufu Kwa Mwasota lililopo Mabibo Makuburi jijini Dar es salaam.Mwimbaji huyo aliyeanza kuimba miaka mitano iliyopita amefanikiwa kutoa albamu tatu ambazo ni Mungu Baba,Hapa Nilipo na Zipo faida .

1 comment

filipo Lubua said...

Oh, great. Mungu awabariki sana hawa wapendwa.

Filipo Lubua

Mtazamo News . Powered by Blogger.