MTANGAZAJI

SEMINA ELEKEZI HAPA, NAIROBI,KENYA

Mtangazaji ndani ya studio za Hope Channel zilizopo Ongata Rongai,Nairobi,Kenya
Semina elekezi ikiendelea,Mhazini wa Tanzania Adventist Media Center Farida Mika naye yupo
Kutoka kushoto ni Mkurungenzi wa Mawasiliano Kanda ya Afrika Mashariki na Kati katika kanisa la Waadventista Wasabato Steven Bina,Mtangazaji,Wilberforce Milet toka Kisima FM,Kenya na Mwongozaji  wa Vipindi wa Prime Radio,Uganda Babi Kimera

Mtangazaji akichangia jambo katika mdahalo katika moja wapo ya mada za leo kwenye semina elekeze ya wafanyakazi 55 wa FM Radio za Kanisa la Waadventista Wasabato zilizopo  katika nchi 10 zilizopo katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati,semina hiyo inatarajiwa kumalizika Septemba 23 hapa Nairobi inayoendeshwa na Radio ya Waadventista Ulimwenguni(AWR)

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.