MTANGAZAJI

MCH.JOSEPH SHEM ONYANGO AMEFARIKI

Habari za kusikitisha zilizoifikia blog hii mchana huu hapa Nairobi toka Morogoro, Tanzania zinaeleza kuwa Mzee wa Sera Mchungaji Joseph Shem Onyango amefariki dunia leo baada ya kugongwa na pikipiki alipokuwa akivuka barabara.
Blog hii itaendelea kukufahamisha zaidi,BWANA awape faraja wafiwa ndugu jamaa na marafiki wa familia ya Mchungaji

2 comments

Filipo Lubua said...

Nawapa pole ndugu, marafiki na waumini wote wa kanisa la Waadventista
wasabato na wengine wote walioguswa na msiba huu. Asante sana kaka Maduhu kwa kutupasha habari.

penina said...

- Tulipokea habari hizi kwa masikitiko lakini hatuna budi kukubali mtumishi wa bwana alale

Mtazamo News . Powered by Blogger.