MTANGAZAJI

WASHA YA TEKNOHAMA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA-IFM YAFANA

Jana kulikuwa na washa iliyoandaliwa na Wizara ya Ardhi nchini Tanzania kuhusu changamoto za TEKNOHAMA katika wizara hiyo nyeti nchini Tanzania,washa hiyo iliyowakutanisha wadau mbalimbali  iliandaliwa na kufanyika katika kituo cha utafiti wa TEKNOHAMA kilichopo katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha-IFM

4 comments

Anonymous said...

asante kwa ku-post washa hii,ktk picha ya kwanza juu mtu wa pili kushoto ninamkumbuka kwa sura kama simfananishi alikuwa mwanafunzi IFM, akisali sda mwenge.

Anonymous said...

Huyo ni Dr. Jim Yonazi. Ndio ambaye amekuwa akiandaa shughuli hizi. Unaweza kumkuta pale pale IFM kama ukimtafuta.

Anonymous said...

Amebarikiwa pia kuwa kipawa cha uimbaji nimemkumbuka,Asante kunifahamisha ubarikiwe.

Shipping Company said...

Integrashipping is the country's best and most reliable shipping company having a global recognition. Here you can find top-class Auto transport, Boat shipping, Motorcycle shipping & Truck transport infrastructure services.

Mtazamo News . Powered by Blogger.