MTANGAZAJI

TRC NDO IMEKUWA KIDONDA NDUGU????

Mtoto Eliza Chinoga (4) aliyelala akiwa anasukwa nywele na Mama yake, Beatrice Chekutemana, (36) wakisubiria usafiri wa treni wa kwenda bara baada ya kukwama kwa siku tatu kwenye Stesheni ya Morogoro wakati kukiwa na taarifa ya kuanguka kwa treni ya mizigo kati ya kijiji cha Msua na Kwala katika mkoa wa Pwani wakati likitokea Dar es Salaam.
Wasafiri wanaotumia usafiri wa shirika la Reli nchini (TRC) wakiwa wamekwama katika stesheni ya mkoa wa Morogoro wakati wakisubiria usafiri wa kwenda mikoa ya bara baada ya treni ya mizigo kuanguka katika Kijiji cha Msua na Kwala mkoani Pwani treni hiyo ilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda

Mtoto Fausta Leonard (14) akiwa amelala katika mabegi katika stesheni ya Morogoro wakati wakisubiria usafiri wa kwenda mikoa ya bara baada ya treni ya mizigo iliyokuwa ikielekea Uganda kuanguka katika mkoa wa Pwani.(picha zote na Juma Mtanda)

Hivi ni kweli kwamba huu mgogoro wa Shirika la Reli Tanzania serikali na wadau wanashindwa kuupatia ufumbuzi?? mbona kuna mambo mengi hapa nchini ambayo yana maslahi kwa wachache yanashughulikiwa kwa muda mfupi????Maana sasa TRC imekuwa ni kichefuchefu kusikia habari zake!!!!

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.