MTANGAZAJI

LOYCE CHAULO ALIPOMEREMETA

Dada Loyce Chaulo akiwa na mumewe na wapambe wao baada ya kumeremeta mjini Morogoro hivi karibuni

5 comments

Anonymous said...

Wow!!!! Hongera zake atlast.

Anonymous said...

mwanaume anaonekana mdogo sana, kamtoa wapi huyu mama mtu mzima?

Anonymous said...

Jamani nyie hapo juu... Shida yenu ni ipi? 1. wewe unaesema atlast, unamaanisha nini haswa??? 2. Anony wa pili, Hata kama mwanaume anaonekana mdogo kwako, shida yako ipi? kipi haswa kikusibucho? Wenyewe wamependana! (wako ulimtoa wapi?!? -that is if you at all even have one!!!) Na ninawasiwasi comments zote mbili ni za mtu mmoja. Kimekuuma sana?!? Loyce mwaya hongera saaana!!! Achana na wambea. Most important: Mtangulize Mungu in all that you do in your life & married life!

Anonymous said...

Wakuda hao,wanaponda bila hoja.Braza kaka endelea kupendeza na mkeo.
God bless U.
Mwanamasalia.

Anonymous said...

hahhahahaha hongera sana, huyu dada nilimwona siku nyingi sana hivi anaishi wapi siku, ops mtasema ninamtakia nini mke wa ntu

Mtazamo News . Powered by Blogger.