BONGO VIPAJI TUNAVYO TATIZO MIUNDOMBINU
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Kilombero (U17), Saimon Vegula kushoto akimiliki mpira dhidi ya Ibrahim Salum wa Manispaa (U17) katika michuano ya coca cola ngazi ya wilaya yenye lengo la kutafuta wachezaji wataunda timu ya mkoa wa Morogoro ili kushiriki coca cola taifa katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro
Post a Comment