1 comment
- Mzee wa Changamoto said...
-
Swali zuri Kaka. Nadhani kodi na makato ya kufanya biashara hapo vyakusanywa na kutumiwa hapohapo manispaani. Na kama vyaenda nje ni kwa asilimia ndogo saaana.
Nashangaa kuwa bado mentality ya kutegemea serikali kuu inaonekana kugubika vitendea kazi vyetu.
Kwani unadhani sisi ni maskini ama tunashindwa kuhimili, kutumia na kuthmanini rasilimali zilizopo miongoni mwetu?
Inasikitisha.
Asante kwa changamoto Kaka -
March 11, 2009 at 8:18 PM
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment