SEMINA ELEKEZI-NAIROBI KENYA
Tangu jana niko hapa katika eneo la Adventist Hill,jijini,Nairobi,Kenya ambapo nahudhuria semina elekezi ya AWR www.awr.org katika kuhakikisha kuwa nakuwa mtangazaji ambaye anaenda na mabadiliko yanayoteka katika dunia hii yenye changamoto za utandawazi,semina hii imehudhuriwa na wajumbe kutoka Marekani,Tanzania,Kenya,Uganda,DRC,Ethiopia,Somalia,Rwanda na Burundi.
Jambo lingine la kufurahisha ambalo msikilizaji wangu unapaswa kulifahamu ni kwamba kutakuwa na semina elekezi nyingine ambayo itawakutanisha wataalamu na wadau wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEKNOHAMA)toka sehemu mbalimbali duniani itakayofanyika hahapa Nairobi,Kenya kiingilio cha semina hiyo itakayofanyika kuanzia August 14 hadi 17,2008 ni dola 100 za kimarekani.
!!!!!USIPANGE KUKOSA!!!!!
Post a Comment