MTANGAZAJI

NDANI YA STUDIO ZA HERITAGE SINGERS WAKIREKODI SANTURI MPYA BAADA YA MIAKA SABA (+VIDEO)






Art Mapa,Tim Davis na Max Mace wakiendelea na kurekodi

Art Mapa akirekodi na Mzee Max Mace akifuatilia kwa karibu
Waimbaji wa Heritage Singers juma hili wameingia katika  Studio zao zilizopo Placerville,California ikiwa ni mpango mkakati wao wa kurekodi santuri yao mpya kwa mwaka 2019

Santuri hiyo inayosubiriwa na wafuatiliaji wa nyimbo za waimbaji wa kundi hilo lililoanzishwa mwaka 1971 na Max Mace inarekodiwa chini ya waimbaji,watayarishaji na waongozaji wa waimbaji hao Art Maper  na Tim Davis.
Picha na:Heritage Singers

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.