MTANGAZAJI

TAARIFA YA UIMBAJI KATIKA MKUTANO WA KUIKIMBILIA MEDALI YA MATUMAINI UNAOFANYIKA ELDORET NCHINI KENYA

Mkutano wa Injili unaofanyika huko Eldoret nchini Kenya kwa muda wa majuma mawili ukitarajiwa kumalizika mwishoni mwa juma hili umewakutanisha waimbaji mbalimbali toka Kenya na Tanzania.

Mwimbaji wa Gospel Flames toka Tanzania Tumaini Lameck amezungumza na mtandao huu kutoka katika mji wa Eldoret

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.