RAIS DKT. MAGUFULI NA MKEWE MAMA JANETH MAGUFULI WASALI KATIKA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO LA MAGOMENI JIJI DAR ES SALAAM
![]() |
![]() |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakifuatilia neno la MUNGU
katika ibada hiyo
|
![]() |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mhariri Mtendaji waMagazeti ya
Serikali (TSN) Dkt. Jim Yonaz mara baada ya kuahidi kuchangia katika kanisa
hilo.
|
![]() |
Waziri Mstaafu katika awamu iliyopita Steven Wasira naye akichangia katika Harambee hiyo Kanisani hapo. |
![]() |
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimshika
mkono mtoto ambaye alikua anamsalimia wakati akitoka ibadani katika kanisa hilo
la Magomeni
|
Post a Comment