PICHA NA VIDEO-TAMASHA LA THE LIGHTBEARERS LILIVYOFANA DEC 13,2015
| Waimbaji wa LightBearers wakiimba kwenye tamasha la Uzinduzi wa matoleo yao mawili ya DVD lililofanyika Desemba 13,2015 kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam |
| Mkurugenzi wa JCB Studioz na LightBearers Waziri Barnabas akitambulisha wageni |
| Mshereheshaji Adamu Nyando akitekeleza majukumu yake kama kawaida |
| Edina Matinde toka Tanzania akiimba |
| Benton Callwood toka Marekani alikuwepo |
| Joseph Oola na kikundi chache |
| The Voice wakiimba na Emanuel Mcharo wa Vocappella |
| VGS toka Chuo Kikuu cha Arusha |
| Mwalimu wa Ambassadors Of Christ ya Rwanda Sozzy Joram akihojiwa na Prince Emanueli wa Morning Star Radio |
| Benton akiimba |
| Didier Karasira toka Rwanda |
| Mwalimu Sozzy Joram toka Uganda akiimba |
| Waziri Barnabas akizungumza na Morning Star Radio |
| Israel Mugisha akiimba |
| Waimbaji wa Family Music toka Tanzania wakiimba |

Post a Comment