MTANGAZAJI

PICHA NA VIDEO-TAMASHA LA THE LIGHTBEARERS LILIVYOFANA DEC 13,2015


Waimbaji wa LightBearers wakiimba kwenye tamasha la Uzinduzi wa matoleo yao mawili ya DVD lililofanyika Desemba 13,2015 kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam

Mkurugenzi wa JCB Studioz na LightBearers Waziri Barnabas akitambulisha wageni
Mshereheshaji Adamu Nyando akitekeleza majukumu yake kama kawaida

Edina Matinde toka Tanzania akiimba


Benton Callwood toka Marekani alikuwepo













Joseph Oola na kikundi chache

The Voice wakiimba na Emanuel Mcharo wa Vocappella
VGS toka Chuo Kikuu cha Arusha


Mwalimu wa Ambassadors Of Christ  ya Rwanda Sozzy Joram akihojiwa na Prince Emanueli wa Morning Star Radio

Benton akiimba


Didier Karasira toka Rwanda






Mwalimu Sozzy Joram toka Uganda akiimba








Waziri Barnabas akizungumza na Morning Star Radio

Israel Mugisha akiimba

Waimbaji wa Family Music toka Tanzania wakiimba













































No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.