MTANGAZAJI

PICHA:MAKAMBI YA WAADVENTISTA WA SABATO MANZESE 2015 YALIVYOHITIMISHWA

Waimbishaji wakiimbisha nyimbo za halaiki



Mbiu Kwaya wakiimba





Joseph Ligala mwalimu wa Mbiu Kwaya

Kwaya ya Sauti ya Nyikani toka Sinza wakiimba



Angaza Kwaya wakiimba




Wapiga Vyombo wa Kwaya ya Angaza


Kwaya ya Sauti ya Jangwani toka Shinyanga walikuwepo



Wapiga Magitaa wa Sauti ya Jangwani






Mchugaji Tirumanywa na somo lake la Rudi Nyumbani aligusa hisia za waumini waliohudhuria


Watoto wakionesha kipindi chao Maalum ambacho pia kitarushwa hivi karibuni na Morning Star TV


Wazazi wakiwa na watoto ambao walibarikiwa




No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.