PICHA:MAKAMBI YA WAADVENTISTA WA SABATO MANZESE 2015 YALIVYOHITIMISHWA
![]() |
| Waimbishaji wakiimbisha nyimbo za halaiki |
![]() |
| Mbiu Kwaya wakiimba |
![]() |
| Joseph Ligala mwalimu wa Mbiu Kwaya |
![]() |
| Kwaya ya Sauti ya Nyikani toka Sinza wakiimba |
![]() |
| Angaza Kwaya wakiimba |
![]() |
| Wapiga Vyombo wa Kwaya ya Angaza |
![]() |
| Kwaya ya Sauti ya Jangwani toka Shinyanga walikuwepo |
![]() |
| Wapiga Magitaa wa Sauti ya Jangwani |
![]() |
| Mchugaji Tirumanywa na somo lake la Rudi Nyumbani aligusa hisia za waumini waliohudhuria |
![]() |
| Watoto wakionesha kipindi chao Maalum ambacho pia kitarushwa hivi karibuni na Morning Star TV |
![]() |
| Wazazi wakiwa na watoto ambao walibarikiwa |


































Post a Comment