PICHA:ILIVYOKUWA KATIKA UZINDUZI WA SANTURI MWONEKANO NAMBA 4 YA KWAYA YA ANGAZA
Alhaji Ramadhani Madabida akizindua dvd ya Kwaya ya Angaza |
Waimbaji wa Kwaya ya Angaza |
AIC Chang'ombe |
The Winners |
Mbiu Kwaya toka Tandale waliimba |
The Kings Messengers toka Ubungo |
Waimbaji wa Sauti ya Nyikani walikuwepo |
Kinondoni Kwaya wakiimba |
Tukio hilo la aina yake ambalo lilipambwa na waimbaji wa Kwaya ya Kinondoni,AIC Chang'ombe,Mbiu Kwaya,The Winners,Sauti ya Nyikani na Kikundi cha The Kings Messengers na wenyeji Angaza huku zikipatikana zaidi ya 40 milioni ahadi na taslimu
Post a Comment