MTANGAZAJI

PICHA:MATENDO YA HURUMA YAENDELEA KUONESHWA KWA WAHITAJI HUKO ARUSHA











Kanisa la Waadventista Wa Sabato Kanda ya Kaskazini Mwa Tanzania kwa kushirikiana na Idara ya Vijana limeendelea kutoa misaada mbalimbali kwa wahitaji ikiwa ni mwendelezo wa juma la matendo ya huruma litakalohitimishwa duniani kote kwa kanisa hilo Mach 21 mwaka huu

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.