PICHA ZA TAMASHA LA MIAKA MITANO YA REMNANT GENERATION SINGERS NA SHUKRANI KWA MUNGU KUTUFIKISHA MWAKA 2015
Mwenyekiti wa Remnant Generation Singers Mama Anna Matinde akihojiwa na waandishi wa habari |
Waziri Barnabas Mkurugenzi wa Light Bearers na JCB Studioz akizungumza na vyombo vya habari |
Mchungaji Mabwai akitoa neno la ufunguzi na shukrani kwa Mungu |
Remnant Generation Singers wakiimba |
Waimbaji wa Light Bearers wakiwa jukwaani |
Mama Matinde akitoa nasaha na shukrani kwa Mwalimu Fredy Kirya |
Miongoni mwa wazee waliohudhuria akipewa keki |
The Family Music walikuwepo |
Asha Majura |
The Brothers |
Wilson alihitimisha umbaji siku hiyo |
Mama Anna Matinde akitoa shukrani kushoto ni Waziri Barnabas |
Post a Comment