BAADHI YA PICHA ZA SIKU YA CHANGIZO LA KUELEKEA UZINDUZI WA MORNING STAR TV JIJINI DAR ES SALAAM
| Mikocheni SDA Choir wakijiandaa kupanda jukwaani | 
| Kutoka kushoto ni Mch Ruguri,Mch Magulilo Mwakalonge,Mch Godwin Lekundayo,Mch Machage na Ndugu Manongi | 
| Makamu wa Mwenyekiti wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Dunia Mch Benjamin Shoun akiomba ombi la kuweka wakfu mchakato wa uanzishwaji wa Morning Star TV | 
| Kibada SDA Choir wakiimba | 

Post a Comment