MTANGAZAJI

MVUA KUBWA YASABABISHA MAGARI KUKWAMA HUKO HEDARU,KILIMANJARO








Magari  yamekwama katika eneo  la Hedaru,Same Kilimanjaro baada ya barabara ya Dar es salaam kwenda Arusha kufungwa na kuzibwa na maji mengi yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha eneo hilo.Wasafiri wamekwama eneo hili kwani magari na mabasi na yale ya mizigo yanashindwa kupita kwa kuwa njia haionekani.
Kampuni ya ujenzi inayojenga barabara hiyo wanajitaidi kuchimba maeneo ya pembeni ili kuweza kuhamisha maji ili angalau njia iweze kuonekana.Hali ni mbaya eneo hili hivyo serikali inatakiwa kuwahi kwenda kutoa msaada wa kuweza kupunguza maji na hatimaye magari yaweze kupita.

Chanzo:DJ SEK BLOG

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.