MTANGAZAJI

PICHA ZA VURUGU ZA POLISI NA CHADEMA NA KUUAWA KWA MWANDISHI WA HABARI HUKO IRINGA


 Hapa polisi wakiwataka wafuasi wa Chadema kutawanyika eneo la tukio ofisi za Chadema Nyololo Mufindi
 Mmoja wa askari wa kutuliza ghasia ffu akipita mbele ya ofisi za Chadema Nyololomuda mfupi baada ya kupiga bomu la machozi
 Daud Mwangosi kulia enzi za uhai dakika 20 kabla ya kuuwawa kwake
 Sehemu ya wafuasi wa chadema wakiwa kwenye ofisi  za Chadema Nyololo
Polisi wakimshambulia Daud Mwangosi (aliyechini)
 Mwili wa mwanahabari Daud Mwangosi ukiwa chini
  Sehemu ya magari matano ya Chadema yaliyoharibiwa vibaya kwenye vurugu hizo.Picha zote na Habari na Mdau Francis Godwin-Iringa

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.