MKUTANO MKUBWA WA INJILI DAR ES SALAAM WAMALIZIKA JANA -JUNI 16,2012)
![]() |
| Miongoni mwa watu waliohudhuria Mkutano huo |
![]() |
| Baadhi ya waimbaji wa Kurasini SDA Choir hapa Lita Jonathan aliyeshika Mic ambaye ameanza tena kuimba na kwaya hiyo |
![]() |
| Mass Choir iliyoundwa na waimbaji wa kwaya za Temeke,Magomeni na Ubungo wakiimba |
![]() |
| Kinondoni SDA Choir |
![]() |
| Ambassadors Of Christ toka katika kanisa la Waadventista Wasabato Remera,Kigali Rwanda walikuwepo |
![]() |
| Ambassadors Of Christ baada ya kupewa zawadi ya Khanga |









Post a Comment