MTANGAZAJI

MKUTANO MKUBWA WA INJILI DAR ES SALAAM WAMALIZIKA JANA -JUNI 16,2012)

Makamu wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Mch Geoffrey Mbwana akipokea zawadi huku aliyekuwa mhutubu kwenye mkutano huo Dr Baraka Muganda (Mwenye miwani) toka Chuo Kikuu cha Washington akishuhudia

Miongoni mwa watu waliohudhuria Mkutano huo

Baadhi ya waimbaji wa Kurasini SDA Choir  hapa Lita Jonathan aliyeshika Mic ambaye ameanza tena kuimba na kwaya hiyo

Mass Choir iliyoundwa na waimbaji wa kwaya za Temeke,Magomeni na Ubungo wakiimba

Kinondoni SDA Choir

Ambassadors Of Christ toka katika kanisa la Waadventista Wasabato Remera,Kigali Rwanda walikuwepo


Ambassadors Of Christ baada ya kupewa zawadi ya Khanga

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.