ZIARA YA AMBASSADORS OF CHRIST JIJINI DAR ES SALAAM,TANZANIA DEC,2011
| Mwalimu wa Ambassadors of Christ Sozzi Joram akishuka toka garini na kuingia katika ukumbi wa Dimond Jubilee |
| Mchungaji Jonathan wa Union ya Rwanda ya Kanisa la Waadventista Wasabato ambaye aliongozana na waimbaji wa Ambassadors of Christ akizungumza katika tamasha kushoto ni mfasiri Dr Mpoki |
| Mwimbaji wa sauti ya pili Kelly Ndanga akiimba |
| Mutebwa Pepe Patience(mwenye mic) na waimbaji wenzake |
| Jimmy na Sozzi Joram wakiiongoza nyimbo |
| Fundi Mitambo akiwajibika |
| Baadhi ya watu waliohudhuria Tamasha la Ambassadors of Christ katika ukumbi wa Dimond Jubilee Disemba 4 mwaka huu |
| Sara Uwera na Furaha Sandrine wakiimba na waimbaji wenzao |

Post a Comment