MTANGAZAJI

TAARIFA YA MAZISHI YA EDGAR KILEKE (KAKA DICK) LEICESTER UK

Ndugu, Jamaa, na Marafiki, Watanzania wote:
Tunapenda kuwa taarifu kwamba mazishi ya ndugu yetu marehemu Edgar Kileke (Kaka Dick) yatafanyika: 
JUMATANO Tarehe 29 June 2011
IBADA ITAFANYIKA:
LEICESTER CENTRAL SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH
LONDON ROAD
LE2 1EF
LEICESTER

MUDA: SAA NNE KAMILI ASUBUHI (10AM)
MAZIISH YATAFNYIKA: GILROES CEMETRY

Na baada ya mazishi kutakuwa na huduma ndogo kwa wafiwa yaku toa shukurani:
85 STEVENSON DRIVE
LE3 9AD
Kwa Maelezo zaidi wasiliana na:
NDUGU Assa Ali 07951644936 
au 
Fauzia Musa 07943962628

Asanteni sana na Mungu awabariki.

R.I.P EDGAR

Mtazamo News . Powered by Blogger.