MTANGAZAJI

MTOTO AJA NA KIKOMBE CHA DAWA MOROGORO

Fatuma Sengo akimimina dawa


Habari toka Morogoro zinaeleza kuwa Ashinuri Pichuu (4) anayeishi Kichangani, ametangaza kutibu magonjwa sugu na tayari viongozi wa Serikali akiwemo Mkuu wa Wilaya Ya Morogoro Mheshimiwa Mwambungu  alifika kwa "mtaalamu" huyo wa kikombe kwa habari zaidi tembelea 
http://www.jumamtanda.blogspot.com/

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.