MTANGAZAJI

USHAURI KWA WAANDISHI

Kwa sisi ambao tuko "ughaibuni" na huja nyumbani mara kwa mara, tunachoka sana kusoma "habari mbaya" tu kutoka nyumbani! Tunafurahi zaidi kusoma habari nzuri; ambazo tunajua ni nyingi huko nyumbani! .

Kuanzia oneni link hii ya "Goodnews Toronto" - Kuhusu Mtoto Stephano kutoka Mbeya, Tanzania. http://www.goodnewstoronto.ca/heroes.html.
Ahsateni. Mabula

1 comment

Mashughuli said...

hayo ndio maendeleo ya tanzania

Mtazamo News . Powered by Blogger.