MTANGAZAJI

WEZI WA KWENYE MTANDAO WASHAMIRI

Mchana huu nimepata email hii ambayo usipokuwa makini utaibiwa pesa zako, inaonekana wezi wameshaiba email na password ya ya Dr Julius Keyyu na sasa wanatakakuwaliza watu,bahati mbaya sana sina namba yake ya simu maana ukimwandikia email wataisoma cha msingi ni kumpigia simu moja kwa moja,soma utapeli huu sasa:

How are you doing today? I am sorry i didn't inform you about my traveling to Africa for a program called "Empowering Youth to Fight Racism, AIDS, Poverty and Lack of Education,It as been a very sad and bad moment for me over here and the present condition that i found myself is very hard for me to explain.

I am really stranded in Nigeria because I forgot my little bag in the Taxi where my money, passport,documents and other valuable things were kept on my way to the Hotel am staying, I am facing a hard time here because i have no money on me to clear my Hotel bill, I am now owning a sum $2000 for my Hotel bill.

I need you to help me out with a sum of $3,500 urgently so that i can arrange and travel back home,I need this help so much and on time because i am in a terrible and tight situation here, I don't even have money to feed myself for a day which means i had been starving so please understand how important and urgent i needed your help.

I am sending you this e-mail from the city Library and I only have 30 min, I will appreciate what so ever you can afford to send me immediately through Western Union or Money Gram and I promise to pay back your money as soon as i return home so please let me know on time so that i can forward you the details you need to transfer the money through Money Gram or Western Union.Dr. Julius D. Keyyu

Naomba kwa mtu yeyote aliye na namba ya simu ya Dr Keyyu amtaarifu.Pia wadau kuweni makini sana na internet scam

2 comments

Jr said...

huyu Julius D. Keyyu
ni mbongo? au mnigeria?

MADUHU said...

Julia D.Keyyu ni mbongo anaishi Arusha na hajawahi kwenda Nigeria hivi karibuni,kwa sasa na nimewasiliana naye baada ya kupata namba yake ameshalifahamu hili ila anaomba watu tuwe na makini

Mtazamo News . Powered by Blogger.