MTANGAZAJI

MAKAMBI YA MAGOMENI 2008

Waliobatizwa

Brother Frank akiimbisha wakati wa ufunguzi wa ibada siku ya jumamosi



Kambi la mwaka huu lilishuhudia huduma ya ufungwaji wa ndoa siku ya sabato,Bestman Brother Godfrey naona hapa alikuwa anafanya mazoezi na kutafakari jinsi anatakavyofunga ya kwake August 8,mwaka huu na binti toka mwanza aishie Marekani


waimbaji wa Mburahati sda Choir


magomeni sda choir




Anorld Mwapongo




Tumaini Lameck na Abrahamu Mwapongo



Binti huyu Witness Lima akiendelezwa vyema na wazazi wake mr na mrs Lima ni hazina kwa taifa na kanisa kwa kuwa anakipaji cha kueleza na kufundisha

1 comment

Anonymous said...

Hey Dr. Mpoki looks great. The whole event looked amazing. God bless

Mtazamo News . Powered by Blogger.