PASTOR BROWN


Hali hii imekuwa ikimgusa sana maishani mjumbe huyu ambaye pia ni mwimbaji wa nyimbo za injili akiwa tayali ana albamu mbili mkononi kwa kuanzisha mpango wa kuwahudumia watoto yatima kule nchini Marekani kwa maelezo zaidi waweza tembelea hapa: http://www.feedourchildren.org/ Kwangu mimi hii naiona ni changamoto kubwa maana baadhi yetu tunafungua vituo vya kuwatunza na kuwahudumia watoto yatima na wale wanaoishi kwenye mazingira magumu si kwa kukuguswa bali kwa manufaa binafsi hata hao watoto alionao juu si watoto wake wa kuzaa bali anawachukulia kama watoto wake halisi wa kuzaa.
Pr Brown amewahi kuhubiri katika nchi mbalimbali ikiwemo Kenya,Philippines,Haiti n.k amekuwa akitamani sana kuja kuhubiri nchini Tanzania.
Post a Comment