MTANGAZAJI

DAR ES SALAAM:WAUMINI WA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO WAHIMIZWA KUJITOKEZA KWA WINGI KESHO OKTOBA 24,2015 KUCHANGIA VYOMBO VYA HABARI VYA KANISA HILO




Waumini wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato nchini Tanzania wametakiwa kujitokeza kwa  wingi  siku ya sabato ya kesho Oktoba 24,2015 kuchangia vyombo vya habari  vya kanisa  hilo Morning Star Radio  na Morning Star Television.

Mhazini wa Union ya  Kusini Mashariki mwa Tanzania Jack Manongi ameiambia Morning Star Radio kuhusu  muhimu wa vyombo vya habari katika kueneza utume wa kanisa hilo. 

Manongi amewashukuru watu mbalimbali wanaojitokeza kuchangia  vyombo hivi vya habari  kwa kutoa fedha zao,kutangaza na kudhamini vipindi mbalimbali katika vituo hivyo vilivyoko jijini Dar es salaam .

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.