MTANGAZAJI

MOMBASA:MCH GEOFREY GABRIEL MBWANA YUKO MJINI MOMBASA,KENYA


Mch Geofrey Gabriel Mbwana akihubiri




Glorious Singers wakiimba





Makamu wa Kiongozi Mkuu  wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Mch Geofrey Gabriel Mbwana yuko Mombasa nchini Kenya akiendesha mkutano wa injili unaoendesha na Kanisa hilo mjini humo wenye kauli mbiu ya Amani na Tumaini.

Mbwana ambaye alimaliza mkutano mwingine ambao ulikuwa ukirushwa moja kwa moja na Morning Star Televisheni nchini Tanzania anashirikiana na waimbaji mbalimbali nchini Kenya wakiwemo Glorious Singers

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.