GM VIDEO CENTER YAKABIDHI ZAWADI YA LULU ZA INJILI KWA MSHIKAMANO SDA CHOIR
![]() |
Felix Mark Makachayo |
Wimbo huo uliopo katika video yao namba tatu ulipata nafasi hiyo mwaka 2013/14 kutokana na kupigiwa kura na wasikilizaji wa kipindi cha Lulu za Injili waliopigia kura kwa kila wimbo wa mwezi katika mwaka mzima.
Mwalimu wa kwaya ya Mshikamano Felix Mark Makachayo ndiye amekabidhiwa Biblia hizo hii leo jijini Dar es salaam.
Hii itakuwa ni mara ya pili kwa kwaya hiyo ambayo ina matoleo matatu ya video kwa wimbo wake kuchaguliwa kuwa wimbo wa mwaka wa kipindi cha Lulu za Injili ambapo mwaka 2012/13 ilipata nafasi hiyo kwa wimbo wake wa Mguso ulipo katika video nambari mbili kuwa wimbo wa mwaka .
Post a Comment