MTANGAZAJI

MCHUNGAJI KIMBAWALA KUZIKWA LEO

Kwa masikitiko napenda kuwatangazia kuwa Mch Kimbawala aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu amefariki juzi na atazikwa leo nyumbani kwake Visiga,Kibaha mkoani Pwani.

Blog hii inawapa pole wafiwa ndugu,jamaa na marafiki

2 comments

Anonymous said...

This is sad news I say, ni mchungaji Kimbawala baba yake Imma? Pole yao wafiwa.

MADUHU said...

Ni Mchungaji Kimbawala baba yake na Imma ndo ninayemzungumzia hapa

Mtazamo News . Powered by Blogger.