MTANGAZAJI

NHIF YATOA MAFUNZO KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA CHINI YA MPANGO WA “KIKOA”



 Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini Tanzania (NHIF) Rehani Athumani akifungua mafunzo ya bloggers kwa niaba ya Mkurugenzi wa NHIF kuhusu mpango wa bima ya Afya wa Kikoa ambayo inahusisha uchangiaji binafsi kwa watu watu walioko kwenye vikundi vinavyotambuliwa kisheria na wenye kipato cha msimu iliyoandaliwa na NHIF kwa kushirikiana na Mtandao wa Bloggers Tanzania  (TBN) iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Baraza la Maaskofu Tanzania,Kurasini jijini Dar es salaam.




Mkurugenzi wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Tanzania (NHIF) Eugine Mkongoti akiwasilisha mada kwa bloggers

Mwenyekiti wa TBN Joachim Mushi akizungumza jambo kabla ya kuanza mafunzo








Bloggers wakifuatilia mafunzo






No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.